Mezali 26:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Je, umemuona mutu mwenye anafikiri kama iko* na hekima?+ Kuko tumaini zaidi kwa mujinga kuliko kwa mutu huyo. Waroma 12:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Mukuwe na mutazamo uleule kuelekea wengine kama ule wenye muko nao kuelekea ninyi wenyewe; musikaze akili yenu juu ya mambo ya hali ya juu, lakini muongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Musikuwe wenye hekima mbele ya macho yenu wenyewe.+
12 Je, umemuona mutu mwenye anafikiri kama iko* na hekima?+ Kuko tumaini zaidi kwa mujinga kuliko kwa mutu huyo.
16 Mukuwe na mutazamo uleule kuelekea wengine kama ule wenye muko nao kuelekea ninyi wenyewe; musikaze akili yenu juu ya mambo ya hali ya juu, lakini muongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Musikuwe wenye hekima mbele ya macho yenu wenyewe.+