Mezali 15:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Katika nyumba ya mwenye haki muko hazina nyingi,Lakini mazao* ya muovu yanamuletea taabu.+ Muhubiri 5:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Pia, wakati Mungu wa kweli anapatia mutu utajiri na vitu vya kimwili+ na kumuwezesha kuvifurahia, anapaswa kukamata zawabu yake* na kufurahia kazi yake ya nguvu. Hiyo ni zawadi ya Mungu.+
19 Pia, wakati Mungu wa kweli anapatia mutu utajiri na vitu vya kimwili+ na kumuwezesha kuvifurahia, anapaswa kukamata zawabu yake* na kufurahia kazi yake ya nguvu. Hiyo ni zawadi ya Mungu.+