Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mezali 6:6-11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Uende kwa siafu, wewe muvivu;+

      Chunguza njia zake na ukuwe na hekima.

       7 Hata kama hana kamanda, ofisa, wala mutawala,

       8 Anatayarisha chakula chake wakati wa kipindi cha joto,+

      Na kukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

       9 Wewe muvivu, utaendelea kulala pale mupaka wakati gani?

      Utaamuka wakati gani katika usingizi wako?

      10 Kulala kidogo, kusinzia kidogo,

      Kukunja mikono kidogo ili kupumuzika,+

      11 Na umaskini wako utakuja kama munyanganyi,

      Na uhitaji wako kama mwanaume mwenye silaha.+

  • Mezali 13:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  4 Kuko vitu vyenye mutu muvivu anatamani sana, ijapokuwa hana* kitu,+

      Lakini mwenye bidii* atatoshelezwa kabisa.*+

  • Mezali 19:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Muvivu anazika mukono wake katika bakuli la karamu,

      Lakini hajikaze hata kuurudisha katika kinywa chake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine