Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 19:18, 19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Waamuzi watachunguza kwa uangalifu,+ na kama mutu huyo mwenye alishuhudia ni shahidi wa uongo na ameleta shitaka la uongo juu ya ndugu yake, 19 mutamutendea kama vile alipanga kumutendea ndugu yake,+ na unapaswa kuondoa mambo ya mubaya katikati yako.+

  • Mezali 19:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  5 Shahidi wa uongo hatakosa kupewa azabu,+

      Na ule mwenye anasema uongo kila wakati anapumua hataponyoka.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine