18 Waamuzi watachunguza kwa uangalifu,+ na kama mutu huyo mwenye alishuhudia ni shahidi wa uongo na ameleta shitaka la uongo juu ya ndugu yake, 19 mutamutendea kama vile alipanga kumutendea ndugu yake,+ na unapaswa kuondoa mambo ya mubaya katikati yako.+