26 Kisha nikavumbua hili: Mwanamuke mwenye kuwa kama wavu wa muwindaji ni muchungu zaidi kuliko kifo, moyo wake ni kama nyavu za kukokotwa, na mikono yake ni kama minyororo ya gereza. Mutu mwenye anamupendeza Mungu wa kweli anamuponyoka mwanamuke huyo,+ lakini mutenda-zambi ananaswa naye.+