Zaburi 12:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 “Kwa sababu wale wenye kuteswa wanakandamizwa,Kwa sababu ya kilio cha maumivu cha maskini,+Nitasimama ili kutenda,” ni vile Yehova anasema. “Nitawaokoa kutoka kwa wale wenye kuwatendea kwa zarau.”* Mezali 14:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Mwenye anapunja mutu wa hali ya chini anatukana Mutengenezaji wake,+Lakini mutu yeyote mwenye anasikilia maskini huruma anamutukuza Mungu.+
5 “Kwa sababu wale wenye kuteswa wanakandamizwa,Kwa sababu ya kilio cha maumivu cha maskini,+Nitasimama ili kutenda,” ni vile Yehova anasema. “Nitawaokoa kutoka kwa wale wenye kuwatendea kwa zarau.”*
31 Mwenye anapunja mutu wa hali ya chini anatukana Mutengenezaji wake,+Lakini mutu yeyote mwenye anasikilia maskini huruma anamutukuza Mungu.+