-
Mezali 6:1-3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Mwana wangu, kama umeahidi kulipia jirani yako mukopo,+
Kama umepatiana mukono na mugeni,*+
2 Kama umenaswa na ahadi yako,
Kama umekamatwa na maneno ya kinywa chako,+
3 Mwana wangu, fanya hivi na ujiokoe,
Kwa maana umeanguka katika mukono wa jirani yako:
Uende na ujinyenyekeze mwenyewe na kumulilia haraka jirani yako.+
-