Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Basi Natani akamuambia Daudi: “Mwanaume huyo ni wewe! Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Mimi mwenyewe nilikutia mafuta ili ukuwe mufalme juu ya Israeli,+ na nilikuokoa kutoka katika mukono wa Sauli.+

  • 2 Samweli 12:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Sababu gani ulizarau neno la Yehova kwa kutenda mambo ya mubaya mbele ya macho yake? Ulimupiga na kumuua Uria Muhiti kwa upanga!+ Kisha ukachukua bibi yake ili akuwe bibi yako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+

  • Zaburi 141:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  5 Kama mwenye haki ananipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mushikamanifu;+

      Kama ananikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+

      Yenye kichwa changu hakitakataa hata kidogo.+

      Sala yangu itaendelea hata wakati wa misiba yao.

  • Ufunuo 3:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 “‘Wale wote wenye ninapenda, ninawakaripia na kuwatia nizamu.+ Basi ukuwe mwenye bidii na utubu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine