7 Basi Natani akamuambia Daudi: “Mwanaume huyo ni wewe! Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Mimi mwenyewe nilikutia mafuta ili ukuwe mufalme juu ya Israeli,+ na nilikuokoa kutoka katika mukono wa Sauli.+
9 Sababu gani ulizarau neno la Yehova kwa kutenda mambo ya mubaya mbele ya macho yake? Ulimupiga na kumuua Uria Muhiti kwa upanga!+ Kisha ukachukua bibi yake ili akuwe bibi yako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+