1 Samweli 23:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Sasa Yonatani mwana wa Sauli akaenda kwa Daudi kule Horeshi, na akamusaidia kupata nguvu* katika Yehova.+ Waebrania 10:24, 25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Na tufikiriane* ili kuchocheana* katika upendo na matendo ya muzuri,+ 25 bila kuacha kukutana pamoja,+ kama vile wengine wako na desturi, lakini tutiane moyo,+ na kufanya vile zaidi sana kwa kadiri munaona siku ile kuwa inakaribia.+
16 Sasa Yonatani mwana wa Sauli akaenda kwa Daudi kule Horeshi, na akamusaidia kupata nguvu* katika Yehova.+
24 Na tufikiriane* ili kuchocheana* katika upendo na matendo ya muzuri,+ 25 bila kuacha kukutana pamoja,+ kama vile wengine wako na desturi, lakini tutiane moyo,+ na kufanya vile zaidi sana kwa kadiri munaona siku ile kuwa inakaribia.+