Mezali 16:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Ni muzuri zaidi kuwa na kidogo pamoja na uadilifu*+Kuliko kuwa na mapato mengi pasipo haki.+ Mezali 19:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Ni muzuri zaidi kuwa maskini na kutembea katika uaminifu-mushikamanifu+Kuliko kuwa mujinga na kusema uongo.+
19 Ni muzuri zaidi kuwa maskini na kutembea katika uaminifu-mushikamanifu+Kuliko kuwa mujinga na kusema uongo.+