-
1 Wafalme 17:1-3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
17 Sasa Eliya*+ Mutishbi, mukaaji wa Gileadi,+ akamuambia Ahabu: “Kama vile hakika Yehova Mungu wa Israeli mwenye ninatumikia* anaishi, katika miaka hii hakutakuwa umande ao mvua isipokuwa kwa neno langu!”+
2 Neno la Yehova likakuja kwake, na kusema: 3 “Toka hapa, na ugeuke kuenda upande wa mashariki na ujifiche kwenye Bonde la Keriti,* upande wa mashariki wa Yordani.
-
-
Mezali 29:2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Wakati wenye haki ni wengi, watu wanafurahi sana,
Lakini wakati muovu anatawala, watu wanalia kwa maumivu.+
-