-
Nehemia 9:29Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
29 Hata kama ulikuwa unawaonya ili warudilie Sheria yako, walijiendesha kwa kimbelembele na walikataa kusikiliza amri zako;+ na walitenda zambi juu ya masharti yako, yenye kama mutu anayafuata ataishi.+ Lakini kwa kichwa-nguvu waligeuza mugongo wao na kufanya shingo zao zikuwe nguvu, na walikataa kusikiliza.
-
-
Yeremia 16:12, 13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Na mumejiendesha mubaya zaidi kuliko mababu zenu,+ na kila mumoja wenu anafuata ugumu wa moyo wake muovu kuliko kunitii.+ 13 Basi nitawatupa ninyi inje ya inchi hii katika inchi yenye ninyi wala mababu zenu hamukujua,+ na kule mutatumikia miungu mingine muchana na usiku,+ kwa sababu sitawaonyesha wema wowote.”’
-