Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Lakini makuhani wenye kufanya uchawi wa Misri wakafanya jambo lilelile kwa ufundi wao wa siri,+ kwa hiyo moyo wa Farao ukaendelea kuwa mugumu, na hakuwasikiliza, kama vile Yehova alikuwa amesema.+

  • Nehemia 9:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Hata kama ulikuwa unawaonya ili warudilie Sheria yako, walijiendesha kwa kimbelembele na walikataa kusikiliza amri zako;+ na walitenda zambi juu ya masharti yako, yenye kama mutu anayafuata ataishi.+ Lakini kwa kichwa-nguvu waligeuza mugongo wao na kufanya shingo zao zikuwe nguvu, na walikataa kusikiliza.

  • Mezali 29:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Mutu mwenye anafanya shingo yake ikuwe nguvu* kisha kukaripiwa mara nyingi+

      Atavunjwa bila kutazamia na hataweza kupona.+

  • Yeremia 16:12, 13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Na mumejiendesha mubaya zaidi kuliko mababu zenu,+ na kila mumoja wenu anafuata ugumu wa moyo wake muovu kuliko kunitii.+ 13 Basi nitawatupa ninyi inje ya inchi hii katika inchi yenye ninyi wala mababu zenu hamukujua,+ na kule mutatumikia miungu mingine muchana na usiku,+ kwa sababu sitawaonyesha wema wowote.”’

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine