15 Kama ndugu ao dada wanakosa nguo na chakula cha kutosha kwa ajili ya siku, 16 lakini mumoja wenu anawaambia, “Muende kwa amani; muote moto na mukule muzuri,” lakini ninyi hamuwapatie mambo yenye wako nayo lazima kwa ajili ya mwili wake, hilo liko na faida gani?+