Mezali 18:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Maneno ya mujinga yanatokeza mabishano,+Na kinywa chake kinafanya apigwe.+ Mezali 20:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Ni heshima kwa mutu kujiepusha na mabishano,+Lakini kila mupumbavu atajiingiza ndani.+