-
Kumbukumbu la Torati 6:10-12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 “Wakati Yehova Mungu wako atakuingiza katika inchi yenye aliapia mababu zako Abrahamu, Isaka, na Yakobo kwamba atakupatia+—miji mikubwa na yenye kupendeza yenye haukujenga,+ 11 nyumba zenye kujaa vitu vya muzuri vya namna mbalimbali vyenye haukufanya kazi ili kuvipata, matangi yenye haukuchimba, na mashamba ya mizabibu na mizeituni yenye haukupanda—na wakati utakuwa umekula na kushiba,+ 12 ukuwe muangalifu ili usimusahau Yehova,+ mwenye alikutosha katika inchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
-