Mezali 6:16, 17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Kuko vitu sita (6) vyenye Yehova anachukia;Ndiyo, vitu saba (7) vyenye anachukia* sana: 17 Macho yenye majivuno,+ ulimi wa uongo,+ na mikono yenye kumwanga damu yenye haina kosa,+
16 Kuko vitu sita (6) vyenye Yehova anachukia;Ndiyo, vitu saba (7) vyenye anachukia* sana: 17 Macho yenye majivuno,+ ulimi wa uongo,+ na mikono yenye kumwanga damu yenye haina kosa,+