-
Muhubiri 1:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Mutu anapata faida gani kwa kazi zake zote za nguvu
Zenye anafanya kwa jasho chini ya jua?+
-
-
Muhubiri 5:15, 16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Kama vile mutu alitoka katika tumbo la uzazi la mama yake, ataenda akiwa uchi, kama vile alikuja.+ Na hawezi kubeba kitu chochote kwa ajili ya kazi yake yote ya nguvu.+
16 Hili pia ni jambo la mubaya sana:* Kama vile alikuja, ni vile ataenda; na kuko faida gani kwa mutu mwenye anaendelea kufanya kazi ya nguvu kwa ajili ya upepo?+
-