31 Kisha mambo hayo Mungu akaona kila kitu chenye alikuwa amefanya, na angalia! kilikuwa kizuri sana.+ Na ikakuwa mangaribi na ikakuwa asubui, siku ya sita (6).
20 Kwa maana sifa zake zenye hazionekane zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea, kwa sababu zinaonekana kupitia vitu vyenye vilifanywa,+ ndiyo, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ na hivyo hawana sababu ya kujitetea.