-
Muhubiri 5:18, 19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 Nimeona kwamba hili ndilo jambo la muzuri na lenye kufaa: kwamba mutu anapaswa kula, kunywa, na kufurahia kazi yake yote ya nguvu+ yenye anafanya kwa jasho chini ya jua siku kidogo za maisha yenye Mungu wa kweli amemupatia, kwa maana hiyo ndiyo zawabu yake.*+ 19 Pia, wakati Mungu wa kweli anapatia mutu utajiri na vitu vya kimwili+ na kumuwezesha kuvifurahia, anapaswa kukamata zawabu yake* na kufurahia kazi yake ya nguvu. Hiyo ni zawadi ya Mungu.+
-