Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 5:18, 19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Nimeona kwamba hili ndilo jambo la muzuri na lenye kufaa: kwamba mutu anapaswa kula, kunywa, na kufurahia kazi yake yote ya nguvu+ yenye anafanya kwa jasho chini ya jua siku kidogo za maisha yenye Mungu wa kweli amemupatia, kwa maana hiyo ndiyo zawabu yake.*+ 19 Pia, wakati Mungu wa kweli anapatia mutu utajiri na vitu vya kimwili+ na kumuwezesha kuvifurahia, anapaswa kukamata zawabu yake* na kufurahia kazi yake ya nguvu. Hiyo ni zawadi ya Mungu.+

  • Isaya 65:21, 22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Watajenga nyumba na kuishi ndani,+

      Na watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.+

      22 Hawatajenga ili mutu mwingine akae ndani,

      Wala hawatapanda ili wengine wakule.

      Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za muti,+

      Na wachaguliwa wangu watafurahia kwa ukamili kazi ya mikono yao.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine