Yeremia 10:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Ni nani mwenye hapaswe kukuogopa, Ee Mufalme wa mataifa,+ kwa maana inafaa;Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,Hakuna mutu yeyote hata kidogo mwenye kuwa kama wewe.+ Ufunuo 15:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Ni nani mwenye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kutukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mushikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele yako,+ kwa sababu amri zako za haki zimefunuliwa.”
7 Ni nani mwenye hapaswe kukuogopa, Ee Mufalme wa mataifa,+ kwa maana inafaa;Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,Hakuna mutu yeyote hata kidogo mwenye kuwa kama wewe.+
4 Ni nani mwenye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kutukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mushikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele yako,+ kwa sababu amri zako za haki zimefunuliwa.”