Yobu 14:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Lakini mwanadamu anakufa na analala bila nguvu yoyote;Wakati mwanadamu anakufa, iko* wapi?+ Zaburi 39:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa kweli, umefanya siku zangu zikuwe kidogo tu;*+Na urefu wa maisha yangu hauko kitu mbele yako.+ Hakika kila mwanadamu, hata kama anaonekana kuwa salama, haiko kitu lakini pumuzi tu.+ (Sela) Zaburi 89:48 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 48 Ni mwanadamu gani anaweza kuishi na asikufe hata siku moja?+ Je, anaweza kujiokoa* katika nguvu za Kaburi?* (Sela)
5 Kwa kweli, umefanya siku zangu zikuwe kidogo tu;*+Na urefu wa maisha yangu hauko kitu mbele yako.+ Hakika kila mwanadamu, hata kama anaonekana kuwa salama, haiko kitu lakini pumuzi tu.+ (Sela)
48 Ni mwanadamu gani anaweza kuishi na asikufe hata siku moja?+ Je, anaweza kujiokoa* katika nguvu za Kaburi?* (Sela)