-
1 Samweli 30:11, 12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Wakamupata mwanaume fulani Mumisri katika eneo la mashamba na wakamupeleka kwa Daudi. Wakamupatia chakula na maji ya kunywa, 12 na pia kipande cha keki ya tini zenye zilifinywa-finywa na keki mbili za zabibu. Kisha kula, akapata nguvu,* kwa sababu hakukuwa amekula chakula chochote wala kunywa maji yoyote kwa siku tatu (3), muchana na usiku.
-