-
Wimbo wa Sulemani 4:1-3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 “Angalia! Uko mwenye sura na umbo ya muzuri, mupenzi wangu.
Angalia! Uko mwenye sura na umbo ya muzuri.
Macho yako ni kama ya njiwa nyuma ya kitambaa chako cha kufunika kichwa.
Nywele zako ni kama kundi la mbuzi
Wenye wanashuka kwenye milima ya Gileadi.+
2 Meno yako ni kama kundi la kondoo wenye wamekatwa manyoya sasa hivi
Wenye wametoka kunawishwa,
Wote wamezaa mapacha,
Na hakuna mwenye amepoteza kitoto chake.
3 Midomo yako ni kama uzi ya rangi nyekundu yenye kungaa,
Na maneno yako yanapendeza sana.
Kama kipande cha tunda la komamanga
Ni vile mashavu yako yanaonekana nyuma ya kitambaa chako cha kufunika kichwa.
-