11 Angalia! Wale wote wenye kuwaka kasirani juu yako watapatishwa haya na kufezeheshwa.+
Wale wenye kupigana na wewe watafanywa kuwa bure na wataharibiwa.+
12 Utatafuta watu wenye kupambana na wewe, lakini hautawapata;
Watu wenye kupigana na wewe watakuwa kama kitu chenye hakiko, kama kitu bure kabisa.+