Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 115:4-8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  4 Sanamu zao ni feza na zahabu,

      Kazi ya mikono ya mwanadamu.+

       5 Ziko na kinywa, lakini haziwezi kusema;+

      Ziko na macho, lakini haziwezi kuona;

       6 Ziko na masikio, lakini haziwezi kusikia;

      Ziko na pua, lakini haziwezi kunusa;

       7 Ziko na mikono, lakini haziwezi kugusa;

      Ziko na miguu, lakini haziwezi kutembea;+

      Hazitoe sauti yoyote kwa koo yao.+

       8 Watu wenye kuzitengeneza watakuwa kama vile sanamu hizo,+

      Na wale wote wenye kuzitegemea.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine