Isaya 66:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 66 Yehova anasema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme, na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba yenye munaweza kunijengea,+Na mahali pangu pa kupumuzikia pako wapi?”+
66 Yehova anasema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme, na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba yenye munaweza kunijengea,+Na mahali pangu pa kupumuzikia pako wapi?”+