Kumbukumbu la Torati 20:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 “Kama unaenda kupigana vita na maadui wako na unaona kwamba farasi zao na magari yao na wanajeshi wao ni wengi kuliko wako, usiwaogope, kwa maana Yehova Mungu wako mwenye alikutosha katika inchi ya Misri iko* pamoja na wewe.+ Zaburi 46:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 46 Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu,+Musaada wenye kupatikana kwa urahisi nyakati za taabu.+ Waroma 8:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Basi, tuseme nini juu ya mambo haya? Kama Mungu iko* upande wetu, ni nani atatushinda?+
20 “Kama unaenda kupigana vita na maadui wako na unaona kwamba farasi zao na magari yao na wanajeshi wao ni wengi kuliko wako, usiwaogope, kwa maana Yehova Mungu wako mwenye alikutosha katika inchi ya Misri iko* pamoja na wewe.+