13 Simama na upige-pige nafaka, Ee binti ya Sayuni;+
Kwa maana nitabadilisha pembe zako kuwa chuma,
Na nitabadilisha kwato zako kuwa shaba,
Na utaponda-ponda vikundi vingi vya watu.+
Utamutolea Yehova faida yao yenye haiko ya haki,
Na mali zao utazipatia Bwana wa kweli wa dunia yote.”+