14 Kila mutu anatenda kwa kukosa akili na bila ujuzi.
Kila fundi wa chuma atapatishwa haya kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+
Kwa maana sanamu yake ya chuma ni uongo,
Na hakuna roho ndani yazo.+
15 Hizo ni udanganyifu, kazi ya muzaha.+
Wakati siku ya kuziomba zitoe hesabu itakuja, zitaangamia.