5 Na sasa kama mutatii kabisa sauti yangu na kushika agano langu, hakika mutakuwa mali yangu ya pekee kati ya vikundi vyote vya watu,+ kwa sababu dunia yote ni yangu.+ 6 Mutakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno yenye utawaambia Waisraeli.”