8 Lakini, ni kwa sababu Yehova anawapenda na kwa sababu alishika kiapo chenye aliapia mababu zenu+ ndiyo maana Yehova aliwatosha kwa mukono wake wenye nguvu, ili kuwakomboa kutoka katika nyumba ya utumwa,+ kutoka katika mamlaka ya Farao mufalme wa Misri.