9 Mukumbuke mambo ya kwanza ya zamani sana,
Kwamba mimi ni Mungu na hakuna mwingine.
Mimi ni Mungu na hakuna mwenye kuwa kama mimi.+
10 Ninatabiri matokeo tangu mwanzo
Na tangu zamani sana mambo yenye bado hayajafanywa.+
Ninasema, ‘Uamuzi wangu utasimama,+
Na nitafanya jambo lolote lenye ninapenda.’+