Isaya 44:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Yehova,Mufalme wa Israeli+ na Mukombozi wake,+ Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu isipokuwa mimi.+ Isaya 63:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Kwa maana wewe ni Baba yetu;+Ijapokuwa pengine Abrahamu hatujueNa pengine Israeli hatutambue,Wewe, Ee Yehova, ni Baba yetu. Mukombozi wetu wa zamani sana ndilo jina lako.+
6 Yehova,Mufalme wa Israeli+ na Mukombozi wake,+ Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu isipokuwa mimi.+
16 Kwa maana wewe ni Baba yetu;+Ijapokuwa pengine Abrahamu hatujueNa pengine Israeli hatutambue,Wewe, Ee Yehova, ni Baba yetu. Mukombozi wetu wa zamani sana ndilo jina lako.+