Isaya 28:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Na hawa pia wanapotea kwa sababu ya divai;Wanayumba-yumba kwa sababu ya vinywaji vyao vyenye kulewesha. Kuhani na nabii wanapotea kwa sababu ya pombe;Divai inawavuruga,Na wanayumba-yumba kwa sababu ya pombe yao;Maono yao yanafanya wapotee,Na wanajikwaa katika hukumu.+ Yeremia 5:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Manabii wanatoa unabii kwa uongo,+Na makuhani wanatawala wengine kwa mamlaka yao wenyewe. Na watu wangu wanapenda mambo yakuwe vile.+ Lakini mutafanya nini wakati mwisho utafika?”
7 Na hawa pia wanapotea kwa sababu ya divai;Wanayumba-yumba kwa sababu ya vinywaji vyao vyenye kulewesha. Kuhani na nabii wanapotea kwa sababu ya pombe;Divai inawavuruga,Na wanayumba-yumba kwa sababu ya pombe yao;Maono yao yanafanya wapotee,Na wanajikwaa katika hukumu.+
31 Manabii wanatoa unabii kwa uongo,+Na makuhani wanatawala wengine kwa mamlaka yao wenyewe. Na watu wangu wanapenda mambo yakuwe vile.+ Lakini mutafanya nini wakati mwisho utafika?”