Matendo 17:29 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi tuko watoto* wa Mungu,+ hatupaswe kufikiri kwamba Mungu ni kama zahabu ao feza ao jiwe, kama kitu chenye kilichongwa kwa ufundi na utungaji wa mwanadamu.+
29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi tuko watoto* wa Mungu,+ hatupaswe kufikiri kwamba Mungu ni kama zahabu ao feza ao jiwe, kama kitu chenye kilichongwa kwa ufundi na utungaji wa mwanadamu.+