-
Isaya 44:16, 17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Nusu yake anaiteketeza katika moto;
Kwa nusu hiyo anachoma nyama yenye anakula, na anashiba.
Pia anaota moto na kusema:
“Aha! Ninasikia joto wakati ninaangalia moto.”
17 Lakini sehemu yenye kubakia anaifanya kuwa mungu, kuwa sanamu yake ya kuchongwa.
Anaiinamia na kuiabudu.
Anasali kwake na kusema:
“Uniokoe, kwa maana wewe ni mungu wangu.”+
-
-
Danieli 3:5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 kwamba wakati mutasikia sauti ya baragumu, zumari, zeze, kinubi chenye pembe tatu (3), chombo cha kamba, zumari-tete, na vyombo vingine vyote vya muziki, munapaswa kuanguka chini na kuabudu sanamu ya zahabu yenye Mufalme Nebukadneza amesimamisha.
-