Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 44:16, 17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Nusu yake anaiteketeza katika moto;

      Kwa nusu hiyo anachoma nyama yenye anakula, na anashiba.

      Pia anaota moto na kusema:

      “Aha! Ninasikia joto wakati ninaangalia moto.”

      17 Lakini sehemu yenye kubakia anaifanya kuwa mungu, kuwa sanamu yake ya kuchongwa.

      Anaiinamia na kuiabudu.

      Anasali kwake na kusema:

      “Uniokoe, kwa maana wewe ni mungu wangu.”+

  • Danieli 3:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Mufalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya zahabu yenye urefu wa mikono makumi sita (60)* na upana wa mikono sita (6).* Aliisimamisha kwenye eneo tambarare la Dura katika jimbo la* Babiloni.

  • Danieli 3:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 kwamba wakati mutasikia sauti ya baragumu, zumari, zeze, kinubi chenye pembe tatu (3), chombo cha kamba, zumari-tete, na vyombo vingine vyote vya muziki, munapaswa kuanguka chini na kuabudu sanamu ya zahabu yenye Mufalme Nebukadneza amesimamisha.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine