Isaya 41:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Ni nani amemuinua mutu kutoka mahali jua linatokea,*+Akimuita afuate miguu Yake* ili atimize haki,Ili atie mataifa katika mukono wakeNa kumufanya atiishe wafalme?+ Mwenye anawafanya wakuwe mavumbi mbele ya upanga wake,Kama majani ya kukauka yenye kupeperushwa na upepo mbele ya upinde wake? Isaya 45:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 45 Yehova anamuambia hivi mutiwa-mafuta wake, Koreshi,+Mwenye nimeshika mukono wake wa kuume,+Ili kutiisha mataifa mbele yake,+Kunyanganya wafalme silaha,*Kufungua mbele yake milango yenye pande mbili,Na hivyo milango mikubwa haitafungwa:
2 Ni nani amemuinua mutu kutoka mahali jua linatokea,*+Akimuita afuate miguu Yake* ili atimize haki,Ili atie mataifa katika mukono wakeNa kumufanya atiishe wafalme?+ Mwenye anawafanya wakuwe mavumbi mbele ya upanga wake,Kama majani ya kukauka yenye kupeperushwa na upepo mbele ya upinde wake?
45 Yehova anamuambia hivi mutiwa-mafuta wake, Koreshi,+Mwenye nimeshika mukono wake wa kuume,+Ili kutiisha mataifa mbele yake,+Kunyanganya wafalme silaha,*Kufungua mbele yake milango yenye pande mbili,Na hivyo milango mikubwa haitafungwa: