Hesabu 23:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Mungu haiko mwanadamu bure mwenye anasemaka uongo,+Wala haiko mwana wa binadamu mwenye anabadilishaka nia yake.*+ Wakati anasema jambo fulani, je, hatalifanya? Wakati anasema, je, hatalitimiza?+ Yobu 23:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Wakati amekusudia kufanya jambo fulani, ni nani anaweza kumupinga?+ Wakati anataka* kufanya jambo fulani, yeye analifanya.+
19 Mungu haiko mwanadamu bure mwenye anasemaka uongo,+Wala haiko mwana wa binadamu mwenye anabadilishaka nia yake.*+ Wakati anasema jambo fulani, je, hatalifanya? Wakati anasema, je, hatalitimiza?+
13 Wakati amekusudia kufanya jambo fulani, ni nani anaweza kumupinga?+ Wakati anataka* kufanya jambo fulani, yeye analifanya.+