23 Mupige vigelegele vya shangwe, ninyi mbingu,
Kwa maana Yehova ametenda!
Mupige vigelegele vya ushindi, ninyi sehemu za chini kabisa za dunia!
Mupige vigelegele vya shangwe, ninyi milima,+
Wewe pori na miti yako yote!
Kwa maana Yehova amemukomboa Yakobo,
Na anaonyesha utukufu wake juu ya Israeli.”+