Zaburi 2:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kwa kusema: “Mimi mwenyewe nimemuweka mufalme wangu+Juu ya Sayuni,+ mulima wangu mutakatifu.” Zaburi 110:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 110 Yehova alimuambia Bwana wangu: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume+Mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Isaya 9:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kwa maana mutoto amezaliwa kwetu,+Tumepewa mwanaNa utawala* utakaa juu ya bega lake.+ Jina lake litakuwa Mushauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mukubwa wa Amani. Matayo 28:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Yesu akawakaribia na kuwaambia, na kusema: “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.+
110 Yehova alimuambia Bwana wangu: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume+Mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+
6 Kwa maana mutoto amezaliwa kwetu,+Tumepewa mwanaNa utawala* utakaa juu ya bega lake.+ Jina lake litakuwa Mushauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mukubwa wa Amani.