Isaya 40:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Utukufu wa Yehova utafunuliwa,+Na miili yote itauona* pamoja,+Kwa maana kinywa cha Yehova kimesema.” Yohana 12:37, 38 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 37 Hata kama alikuwa amefanya alama nyingi sana mbele yao, hawakukuwa wanamuamini, 38 ili neno hili la nabii Isaya litimizwe: “Yehova,* ni nani ameamini jambo lenye limesikiwa kutoka kwetu?*+ Na kuhusu mukono wa Yehova,* umefunuliwa kwa nani?”+
5 Utukufu wa Yehova utafunuliwa,+Na miili yote itauona* pamoja,+Kwa maana kinywa cha Yehova kimesema.”
37 Hata kama alikuwa amefanya alama nyingi sana mbele yao, hawakukuwa wanamuamini, 38 ili neno hili la nabii Isaya litimizwe: “Yehova,* ni nani ameamini jambo lenye limesikiwa kutoka kwetu?*+ Na kuhusu mukono wa Yehova,* umefunuliwa kwa nani?”+