-
Matayo 8:14-17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Na wakati Yesu aliingia katika nyumba ya Petro, aliona mama-mukwe wa Petro+ amelala na alikuwa na ugonjwa wa homa.+ 15 Basi akagusa mukono wake,+ na homa hiyo ikamutoka, akasimama na kuanza kumutumikia. 16 Lakini wakati ilikuwa mangaribi, watu walimuletea watu wengi wenye walikuwa na pepo wachafu; akafukuza hao roho kwa kusema neno moja, na akaponyesha wote wenye walikuwa wagonjwa, 17 ili kutimiza maneno yenye yalisemwa kupitia nabii Isaya: “Yeye mwenyewe alichukua magonjwa yetu na kubeba maumivu yetu.”+
-