Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:21, 22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Haruni ataweka mikono yake mbili juu ya kichwa cha ule mbuzi mwenye kuwa muzima na kuungama juu yake makosa yote ya Waisraeli na maovu yao yote na zambi zao zote, na ataziweka juu ya kichwa cha ule mbuzi+ na kumutuma katika jangwa kupitia mukono wa mutu mwenye alichaguliwa ili kufanya vile.* 22 Ule mbuzi atabeba juu yake mwenyewe makosa yao yote+ mupaka katika eneo la jangwa,+ na mutu huyo atamuachilia ule mbuzi aende katika jangwa.+

  • 1 Petro 2:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Yeye mwenyewe alibeba zambi zetu+ katika mwili wake mwenyewe juu ya muti,+ ili tukufe kuhusiana* na zambi na tuishi kuhusiana na haki. Na “kwa vidonda vyake muliponyeshwa.”+

  • 1 Yohana 2:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Watoto wangu wadogo, ninawaandikia ninyi mambo haya ili musifanye zambi. Lakini, kama mutu yeyote anafanya zambi, tuko na musaidizi* kwa Baba, Yesu Kristo,+ mwenye haki.+ 2 Na yeye ni zabihu ya kufunika*+ kwa ajili ya zambi zetu,+ hata hivyo haiko zambi zetu tu lakini pia zambi za ulimwengu wote.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine