-
Danieli 9:26Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
26 “Na kisha yale majuma makumi sita na mbili (62) Masiya atakatiliwa mbali,*+ bila kuwa na kitu chochote kwa ajili yake.+
“Na watu wa kiongozi mwenye anakuja wataharibu muji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa njia ya mafuriko. Na mupaka ule mwisho kutakuwa vita; kile chenye kimeamuliwa ni uharibifu.+
-