Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 13:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 “Ee upanga, amuka ushambulie muchungaji wangu,+

      Ushambulie mutu mwenye ni mwenzangu,” ni vile Yehova wa majeshi anasema.

      “Piga muchungaji,+ na kundi litawanyike;*+

      Na nitageuza mukono wangu juu ya wale wenye kuwa wa hali ya chini.”

  • Yohana 11:49, 50
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 49 Lakini mumoja wao, mwenye kuitwa Kayafa,+ mwenye alikuwa kuhani mukubwa mwaka huo, akawaambia: “Ninyi hamujue jambo lolote hata kidogo, 50 na hamuelewe kwamba ni kwa faida yenu mutu mumoja akufe kwa ajili ya watu kuliko taifa lote liharibiwe.”

  • Waroma 5:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Kwa maana, kwa kweli, wakati tulikuwa tungali wazaifu,+ Kristo alikufa kwa ajili ya watu wenye hawamuogope Mungu kwa wakati wenye uliwekwa.

  • Waebrania 9:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Tofauti na hilo, ingekuwa lazima ateseke mara nyingi tangu kuwekwa musingi wa ulimwengu. Lakini sasa amejifunua yeye mwenyewe mara moja kwa wakati wote kwenye umalizio wa mipangilio ya mambo* ili kuondoa zambi kupitia zabihu yake mwenyewe.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine