-
Waroma 5:18, 19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 Kwa hiyo, basi, kama vile kupitia kosa moja matokeo kwa watu wa namna zote yalikuwa kuhesabiwa kuwa na kosa,+ vilevile kupitia tendo moja la kutetewa kuwa wenye haki, matokeo kwa watu wa namna zote+ ni wao kutangazwa kuwa wenye haki kwa ajili ya uzima.+ 19 Kwa maana kama vile kupitia kukosa kutii kwa ule mutu mumoja wengi walifanywa kuwa watenda-zambi,+ vilevile pia kupitia kutii kwa mutu mumoja wengi watafanywa kuwa wenye haki.+
-