Zekaria 14:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Na Yehova atakuwa Mufalme juu ya dunia yote.+ Katika siku hiyo Yehova atakuwa mumoja,+ na jina lake litakuwa moja.+ Waroma 3:29 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 29 Ao je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye haiko Mungu wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, ni wa watu wa mataifa pia.+
9 Na Yehova atakuwa Mufalme juu ya dunia yote.+ Katika siku hiyo Yehova atakuwa mumoja,+ na jina lake litakuwa moja.+
29 Ao je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye haiko Mungu wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, ni wa watu wa mataifa pia.+