Yeremia 23:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Na nitasimamisha juu yao wachungaji wenye kwa kweli watawachunga.+ Hawataogopa tena wala kutetemeshwa, na hakuna mwenye atakosekana,” ni vile Yehova anasema. Sefania 3:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Watu wa Israeli wenye watabakia+ hawatatenda ukosefu wowote wa haki;+Hawatasema uongo, wala ulimi wa udanganyifu hautakuwa katika vinywa vyao;Watakula* na kulala, na hakuna mutu mwenye atawaogopesha.”+
4 Na nitasimamisha juu yao wachungaji wenye kwa kweli watawachunga.+ Hawataogopa tena wala kutetemeshwa, na hakuna mwenye atakosekana,” ni vile Yehova anasema.
13 Watu wa Israeli wenye watabakia+ hawatatenda ukosefu wowote wa haki;+Hawatasema uongo, wala ulimi wa udanganyifu hautakuwa katika vinywa vyao;Watakula* na kulala, na hakuna mutu mwenye atawaogopesha.”+