Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 38:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Kama mawingu yenye kufunika inchi, utashambulia watu wangu Israeli. Katika kipindi cha mwisho cha zile siku, nitakuleta ushambulie inchi yangu+ ili mataifa yanijue wakati nitajitakasa mwenyewe kupitia wewe mbele ya macho yao, Ee Gogu.”’+

  • Ezekieli 38:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Nitaleta hukumu juu yake* kwa ugonjwa wa kuambukiza+ na umwangaji wa damu; na nitanyesha mvua kubwa yenye kufurika na mvua ya majiwe+ na moto+ na kiberiti+ juu yake na juu ya wanajeshi wake na juu ya vikundi vingi vya watu vyenye kuwa pamoja naye.+

  • Zekaria 2:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Kwa maana Yehova wa majeshi anasema hivi, yeye mwenye kisha kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yenye yalikuwa yanawanyanganya ninyi vitu vyenu:+ ‘Mutu yeyote mwenye anawagusa ninyi anagusa mboni ya jicho langu.+

  • Zekaria 12:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Katika siku hiyo nitafanya Yerusalemu kuwa jiwe nzito* kwa vikundi vyote vya watu. Wale wote wenye wanalinyangula bila shaka wataumia sana;+ na mataifa yote ya dunia yatakusanyika ili kupigana naye.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine