16 Kama mawingu yenye kufunika inchi, utashambulia watu wangu Israeli. Katika kipindi cha mwisho cha zile siku, nitakuleta ushambulie inchi yangu+ ili mataifa yanijue wakati nitajitakasa mwenyewe kupitia wewe mbele ya macho yao, Ee Gogu.”’+
22 Nitaleta hukumu juu yake* kwa ugonjwa wa kuambukiza+ na umwangaji wa damu; na nitanyesha mvua kubwa yenye kufurika na mvua ya majiwe+ na moto+ na kiberiti+ juu yake na juu ya wanajeshi wake na juu ya vikundi vingi vya watu vyenye kuwa pamoja naye.+
8 Kwa maana Yehova wa majeshi anasema hivi, yeye mwenye kisha kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yenye yalikuwa yanawanyanganya ninyi vitu vyenu:+ ‘Mutu yeyote mwenye anawagusa ninyi anagusa mboni ya jicho langu.+
3 Katika siku hiyo nitafanya Yerusalemu kuwa jiwe nzito* kwa vikundi vyote vya watu. Wale wote wenye wanalinyangula bila shaka wataumia sana;+ na mataifa yote ya dunia yatakusanyika ili kupigana naye.+