Zaburi 36:7, 8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Upendo wako mushikamanifu ni wenye samani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,wana wa binadamu wanakimbilia.+ 8 Wanakunywa na kushiba vitu vyenye kunona vya* nyumba yako,+Na unawanywesha kwenye muto wa vitu vyako vyenye kufurahisha.+ Zaburi 63:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Nimetosheka* na fungu bora lenye kuwa la muzuri kabisa,*Kwa hiyo kinywa changu kitakusifu kwa midomo yenye shangwe.+
7 Upendo wako mushikamanifu ni wenye samani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,wana wa binadamu wanakimbilia.+ 8 Wanakunywa na kushiba vitu vyenye kunona vya* nyumba yako,+Na unawanywesha kwenye muto wa vitu vyako vyenye kufurahisha.+
5 Nimetosheka* na fungu bora lenye kuwa la muzuri kabisa,*Kwa hiyo kinywa changu kitakusifu kwa midomo yenye shangwe.+